Thursday, August 2, 2012
UGOMVI WA RECORD LABEL-ARUSHA
Record Label mbili kubwa mjini Arusha, NISHER ENTERTAINMENT pamoja na WANENE INTERTAINMENT zimejikuta katika mgogoro kwa kile kilichosemekana kwamba ni ugomvi wa kumgombania msanii...!! Nisher Entertainment inayomilikiwa na mtoto wa mchungaji Geo Davie na Record label ya Wanene studio/ Entertainment inayomilikiwa na mhindi Darsh Pandit mwanzoni mwa wiki hii zilianza kutambiana kwenye mtandao baada ya kila mmoja kusema anammiliki msanii kutoka River Camp soldiers, Gentriez Mwakitabu anayetamba kwa sasa na ngoma yake ya Arusha Boy
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment